Ufundishaji wa Kiswahili katika Mazingira ya Kidijitali
DOI:
https://doi.org/10.5281/zx241h45الكلمات المفتاحية:
الذكاء الأصطناعي, الرقمنة, التحديات, تعليم اللغة السواحيلية, التكنولوجيا.الملخص
Makala hii inachunguza ufundishaji na ujifunzaji wa Lugha ya Kiswahili ndani ya mazingira ya kidijitali. Lengo ni kuonyesha wazi fursa na changamoto zinazojitokeza kutokana na utekelezaji wa teknolojia ya habari, mawasiliano na akili bandia (AB) ili kuimarisha Kiswahili kama lugha ya kimataifa.
Tutajadili aina mbalimbali za mbinu, zana na majukwaa ya kidijitali yanayotumika, pamoja na jinsi ( AB ) inavyoboresha uzoefu wa kujifunza. Pia tutagusa masuala kama vile upatikanaji wa rasilimali, usawa wa kidijitali na hitaji la kuendeleza maudhui ya Kiswahili mtandaoni. Kwa mwisho, utafiti huu unatoa mapendekezo kwa waelimishaji, watengenezaji wa sera na wa teknolojia wote ili kufanya ufundishaji na ujifunzaji wa Kiswahili kuwa bora zaidi katika enzi hii.
المراجع
التنزيلات
منشور
إصدار
القسم
الرخصة
الحقوق الفكرية (c) 2026 مجلة القلم المنير للعلوم الإنسانية والتطبيقية

هذا العمل مرخص بموجب Creative Commons Attribution-NonCommercial 4.0 International License.


